20 Ndipo Musa akamchukua mke wake na wanawe na kuwapandisha juu ya punda, naye akarudi katika nchi ya Misri. Na zaidi, Musa akaichukua ile fimbo ya Mungu wa kweli mkononi mwake.+
9 Ndipo Musa akamwambia Yoshua:+ “Tuchagulie wanaume, nawe uende+ ukapigane na Waamaleki. Kesho nitasimama juu ya kilima, nikiwa na fimbo ya Mungu wa kweli mkononi mwangu.”+