19 Basi ikawa kwamba mara tu alipoikaribia kambi naye akaweza kuiona ile ndama+ na zile dansi, hasira ya Musa ikaanza kuwaka, naye akayatupa mara moja yale mabamba mawili kutoka mkononi mwake na kuyavunja-vunja chini ya mlima.+
15 Basi Musa akakasirika sana na kumwambia Yehova: “Usigeuke ili kutazama toleo lao la nafaka.+ Hata punda-dume mmoja sijachukua kutoka kwao, wala sijamuumiza mmoja wao.”+