Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi ikawa kwamba mara tu alipoikaribia kambi naye akaweza kuiona ile ndama+ na zile dansi, hasira ya Musa ikaanza kuwaka, naye akayatupa mara moja yale mabamba mawili kutoka mkononi mwake na kuyavunja-vunja chini ya mlima.+

  • Hesabu 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi Musa akakasirika sana na kumwambia Yehova: “Usigeuke ili kutazama toleo lao la nafaka.+ Hata punda-dume mmoja sijachukua kutoka kwao, wala sijamuumiza mmoja wao.”+

  • Waefeso 4:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Iweni na ghadhabu, lakini msitende dhambi;+ jua lisitue mkiwa katika hali ya kuchokozeka,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki