Yoshua 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa mtumishi wake, ndivyo Musa alivyomwamuru Yoshua,+ na ndivyo Yoshua alivyofanya. Hakuondoa hata neno moja kutoka kwa yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa.+
15 Kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa mtumishi wake, ndivyo Musa alivyomwamuru Yoshua,+ na ndivyo Yoshua alivyofanya. Hakuondoa hata neno moja kutoka kwa yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa.+