Yoshua 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kama Yehova alivyomwamuru Musa mtumishi wake, ndivyo Musa alivyomwamuru Yoshua,+ na ndivyo Yoshua alivyofanya. Hakuna jambo lolote ambalo hakufanya kati ya mambo yote ambayo Yehova alimwamuru Musa.+
15 Kama Yehova alivyomwamuru Musa mtumishi wake, ndivyo Musa alivyomwamuru Yoshua,+ na ndivyo Yoshua alivyofanya. Hakuna jambo lolote ambalo hakufanya kati ya mambo yote ambayo Yehova alimwamuru Musa.+