Kumbukumbu la Torati 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hampaswi kuongeza jambo lolote kwenye neno ninalowaamuru, wala kuondoa jambo lolote kutoka katika neno hilo,+ ili mzishike amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi. Kumbukumbu la Torati 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazameni, nimewafundisha masharti na sheria,*+ kama nilivyoamriwa na Yehova Mungu wangu, ili mzishike katika nchi mtakayomiliki.
2 Hampaswi kuongeza jambo lolote kwenye neno ninalowaamuru, wala kuondoa jambo lolote kutoka katika neno hilo,+ ili mzishike amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi.
5 Tazameni, nimewafundisha masharti na sheria,*+ kama nilivyoamriwa na Yehova Mungu wangu, ili mzishike katika nchi mtakayomiliki.