Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Hayo ndiyo masharti, amri, na sheria ambazo Yehova aliwapa Waisraeli kwenye Mlima Sinai kupitia Musa.+

  • Hesabu 30:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Hizo ndizo sheria ambazo* Yehova alimwamuru Musa kuhusu mume na mke wake, na kuhusu baba na binti yake anayeishi nyumbani kwa baba yake.”

  • Hesabu 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hizo ndizo amri na sheria ambazo* Yehova aliwapa Waisraeli kupitia Musa katika jangwa tambarare la Moabu karibu na Yordani, huko Yeriko.+

  • Kumbukumbu la Torati 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti, na sheria ambazo Yehova Mungu wako ametoa ili ufundishwe, ili uzishike unapovuka kuingia katika nchi ambayo utaimiliki,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki