Hesabu 36:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hizi ndizo amri+ na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova aliwaamuru wana wa Israeli kupitia Musa, katika nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani, huko Yeriko.+
13 Hizi ndizo amri+ na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova aliwaamuru wana wa Israeli kupitia Musa, katika nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani, huko Yeriko.+