Kutoka 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao wakaanza kumwambia Musa: “Wewe sema nasi, nasi tusikie; lakini Mungu asiseme nasi tusije tukafa.”+ Kumbukumbu la Torati 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mimi nilikuwa nimesimama katikati ya Yehova na ninyi wakati huo+ ili kuwaambia neno la Yehova, (kwa maana mliogopa kwa sababu ya moto nanyi hamkupanda juu mlimani,)+ na kusema,
19 Nao wakaanza kumwambia Musa: “Wewe sema nasi, nasi tusikie; lakini Mungu asiseme nasi tusije tukafa.”+
5 Mimi nilikuwa nimesimama katikati ya Yehova na ninyi wakati huo+ ili kuwaambia neno la Yehova, (kwa maana mliogopa kwa sababu ya moto nanyi hamkupanda juu mlimani,)+ na kusema,