18 Sasa watu wote walikuwa wakiona ile mingurumo na miwako ya umeme na sauti ya baragumu na mlima ukitoa moshi. Watu walipoona hilo, ndipo wakatetemeka na kusimama mbali.+
4 Na makuhani saba wachukue pembe saba za kondoo-dume, mbele ya hilo Sanduku, na siku ya saba mpige mwendo kuzunguka jiji mara saba, nao makuhani wazipige pembe.+