Mwanzo 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi Sarai akamwambia Abramu: “Jeuri niliyotendewa na iwe juu yako. Mimi nilimtia mjakazi wangu kifuani pako, naye alipojua kwamba ana mimba, akaanza kunidharau machoni pake. Yehova na ahukumu kati yangu na wewe.”+ Wagalatia 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa mfano, imeandikwa kwamba Abrahamu alipata wana wawili, mmoja kwa njia ya kijakazi+ na mmoja kwa njia ya mwanamke huru;+
5 Basi Sarai akamwambia Abramu: “Jeuri niliyotendewa na iwe juu yako. Mimi nilimtia mjakazi wangu kifuani pako, naye alipojua kwamba ana mimba, akaanza kunidharau machoni pake. Yehova na ahukumu kati yangu na wewe.”+
22 Kwa mfano, imeandikwa kwamba Abrahamu alipata wana wawili, mmoja kwa njia ya kijakazi+ na mmoja kwa njia ya mwanamke huru;+