Mwanzo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa Sarai, mke wa Abramu, hakuwa amemzalia watoto wowote;+ lakini alikuwa na mjakazi Mmisri na jina lake lilikuwa Hagari.+ Mwanzo 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi Abrahamu akamwita mwana wake jina lake Isaka,+ aliyekuwa amezaliwa kwake, ambaye Sara alikuwa amemzalia.
16 Sasa Sarai, mke wa Abramu, hakuwa amemzalia watoto wowote;+ lakini alikuwa na mjakazi Mmisri na jina lake lilikuwa Hagari.+
3 Basi Abrahamu akamwita mwana wake jina lake Isaka,+ aliyekuwa amezaliwa kwake, ambaye Sara alikuwa amemzalia.