31 “Nawe utafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Hicho kinara cha taa kitafanyizwa kwa kazi ya kufua.+ Msingi wake, matawi yake, vikombe vyake, vifundo vyake na maua yake vitatoka kwake.
19 Na beseni+ na vyetezo na mabakuli na makopo na vinara vya taa+ na vikombe na mabakuli+ yaliyokuwa ya dhahabu halisi,+ na vile vilivyokuwa vya fedha halisi,+ yule mkuu wa walinzi akavichukua.+
2 Kwa maana kilijengwa chumba cha hema cha kwanza+ ambacho ndani yake mlikuwa kile kinara cha taa+ na pia meza+ na wonyesho wa mikate;+ nacho kinaitwa “Mahali Patakatifu.”+