Mambo ya Walawi 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye kuhani atamkadiria thamani yake iwapo ni mzuri au mbaya. Kulingana na thamani iliyokadiriwa na kuhani,+ ndivyo atakavyokuwa. Mambo ya Walawi 27:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikiwa atalitakasa shamba lake baada ya Yubile, basi kuhani atafanya hesabu ya bei kulingana na miaka inayobaki mpaka mwaka wa Yubile inayofuata, na kiasi fulani kitapunguzwa kutoka katika thamani iliyokadiriwa.+
12 Naye kuhani atamkadiria thamani yake iwapo ni mzuri au mbaya. Kulingana na thamani iliyokadiriwa na kuhani,+ ndivyo atakavyokuwa.
18 Na ikiwa atalitakasa shamba lake baada ya Yubile, basi kuhani atafanya hesabu ya bei kulingana na miaka inayobaki mpaka mwaka wa Yubile inayofuata, na kiasi fulani kitapunguzwa kutoka katika thamani iliyokadiriwa.+