14 Nanyi mtakula kile kidari cha toleo la kutikisa+ na ule mguu wa lile fungu takatifu+ katika mahali safi, wewe na wanao na binti zako pamoja nawe,+ kwa sababu vimetolewa kuwa posho lako na posho la wanao kutoka katika dhabihu za ushirika za wana wa Israeli.