Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kuhani ambaye hutoa toleo hilo kwa ajili ya dhambi atalila.+ Katika mahali patakatifu+ litaliwa katika ua+ wa hema la mkutano.

  • Mambo ya Walawi 7:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “‘Hili ndilo lililokuwa fungu la kuhani la Haruni na fungu la kuhani la wanawe kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, katika siku ambayo aliwatoa+ watumikie wakiwa makuhani kwa Yehova,

  • Hesabu 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Yehova akazidi kumwambia Haruni: “Mimi nami, tazama! nimekupa wewe utunzaji wa michango inayotolewa kwa ajili yangu.+ Vitu vyote vitakatifu vya wana wa Israeli nimekupa wewe na wana wako viwe fungu, viwe posho mpaka wakati usio na kipimo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki