4 “Na haya ndiyo mavazi watakayoyafanya: kifuko cha kifuani,+ na efodi+ na koti lisilo na mikono+ na kanzu yenye mirabamiraba, kilemba+ na ukumbuu;+ nao watafanya mavazi matakatifu kwa ajili ya Haruni ndugu yako na wanawe, ili awe kuhani kwangu.
41 yale mavazi+ yaliyofumwa kwa ajili ya kuhudumu katika patakatifu, yale mavazi matakatifu+ kwa ajili ya Haruni kuhani na mavazi ya wanawe ya kutumikia wakiwa makuhani.+