7 Naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake mbele za Yehova, naye atasamehewa lolote ambalo huenda akafanya kati ya mambo yote hayo, nalo limfanye awe na hatia.”
30 Hata hivyo, toleo lolote la dhambi ambalo sehemu ya damu+ yake itaingizwa katika hema la mkutano ili kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, halitaliwa. Litateketezwa kwa moto.