Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 1:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Nao Walawi watapiga kambi kuizunguka maskani ya Ushuhuda, ili ghadhabu+ yoyote isizuke juu ya kusanyiko la wana wa Israeli; nao Walawi watashika utumishi wa maskani ya Ushuhuda.”+

  • Hesabu 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao watashika wajibu wao kwake na wajibu wao kwa kusanyiko lote mbele ya hema la mkutano katika kutimiza utumishi wa maskani.

  • Kumbukumbu la Torati 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Nawe umpende Yehova Mungu+ wako na kushika wajibu wako kwake na sheria zake na maamuzi yake ya hukumu+ na amri zake sikuzote.

  • Ezekieli 48:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Patakuwa kwa ajili ya makuhani, waliotakaswa kutoka kwa wana wa Sadoki,+ ambao waliutunza wajibu kunielekea mimi, ambao hawakuenda mbali wakati ambapo wana wa Israeli walienda huku na huku, kama vile Walawi walivyoenda huku na huku.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki