Kutoka 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na mkate usio na chachu na keki za mviringo zisizo na chachu, ambazo zimetiwa mafuta na mkate mwembamba usio na chachu, uliotiwa mafuta.+ Utavifanya kutokana na unga laini wa ngano. Mambo ya Walawi 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ule unaobaki, Haruni na wanawe wataula.+ Utaliwa kama keki zisizo na chachu+ katika mahali patakatifu. Wataula kwenye ua wa hema la mkutano.
2 na mkate usio na chachu na keki za mviringo zisizo na chachu, ambazo zimetiwa mafuta na mkate mwembamba usio na chachu, uliotiwa mafuta.+ Utavifanya kutokana na unga laini wa ngano.
16 Na ule unaobaki, Haruni na wanawe wataula.+ Utaliwa kama keki zisizo na chachu+ katika mahali patakatifu. Wataula kwenye ua wa hema la mkutano.