14 Na Yehova Mungu akamwambia nyoka:+ “Kwa sababu umefanya jambo hili, umelaaniwa kati ya wanyama wote wa kufugwa na kati ya wanyama wote wa mwituni. Utakwenda kwa tumbo lako na utakula mavumbi siku zote za maisha yako.+
17 Wataramba mavumbi kama nyoka;+ kama watambaaji wa dunia watatoka katika maboma+ yao wakitetemeka. Watamjia Yehova Mungu wetu wakitetemeka, nao watakuogopa.”+