53 “Lakini ikiwa kuhani anatazama, na, tazama sasa, pigo hilo halijaenea katika vazi au katika mtande au katika mshindio au katika chombo chochote cha ngozi,+
59 “Hiyo ndiyo sheria ya pigo la ukoma katika vazi la sufu au kitani,+ au katika mtande au katika mshindio, au katika chombo chochote cha ngozi, ili kukitangaza kuwa safi au kukitangaza kuwa si safi.”