Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Yehova Mungu akawafanyia Adamu na mke wake mavazi marefu ya ngozi, akawavika.+

  • Mwanzo 21:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi Abrahamu akaamka asubuhi na mapema, akachukua mkate na kiriba cha maji akampa Hagari,+ akakiweka juu ya bega lake, na yule mtoto,+ halafu akamruhusu aende. Naye akaenda zake, akatanga-tanga katika nyika ya Beer-sheba.+

  • Ezekieli 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nikakuvika vazi lililopambwa+ na kukuvika viatu vya ngozi ya sili+ na kukufunika kwa kitani bora+ na kukufunika kwa kitambaa cha bei.

  • Mathayo 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki