Marko 1:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 na kumwambia: “Usimwambie mtu yeyote hata jambo moja, bali nenda ujionyeshe kwa kuhani+ na kutoa vile vitu alivyoamuru Musa kwa ajili ya kutakaswa+ kwako, ili kuwa ushahidi kwao.”+
44 na kumwambia: “Usimwambie mtu yeyote hata jambo moja, bali nenda ujionyeshe kwa kuhani+ na kutoa vile vitu alivyoamuru Musa kwa ajili ya kutakaswa+ kwako, ili kuwa ushahidi kwao.”+