Mambo ya Walawi 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Sabato zangu mtazishika,+ nanyi mtapaheshimu patakatifu pangu.+ Mimi ni Yehova. Hesabu 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Awe mwanamume au mwanamke mnapaswa kumtoa nje.+ Mnapaswa kumtoa nje ya kambi, ili wasije wakachafua+ kambi za wale ambao ninakaa katikati yao.”+ Hesabu 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Lakini mtu asiye safi na ambaye hatajitakasa, basi, nafsi hiyo lazima ikatiliwe mbali+ kutoka katikati ya kutaniko, kwa sababu amepatia unajisi patakatifu pa Yehova. Maji ya kutakasa hayakunyunyizwa juu yake. Yeye si safi.
3 Awe mwanamume au mwanamke mnapaswa kumtoa nje.+ Mnapaswa kumtoa nje ya kambi, ili wasije wakachafua+ kambi za wale ambao ninakaa katikati yao.”+
20 “‘Lakini mtu asiye safi na ambaye hatajitakasa, basi, nafsi hiyo lazima ikatiliwe mbali+ kutoka katikati ya kutaniko, kwa sababu amepatia unajisi patakatifu pa Yehova. Maji ya kutakasa hayakunyunyizwa juu yake. Yeye si safi.