4 ndipo kuhani atatoa amri; naye atachukua ndege wawili walio safi+ na mti wa mwerezi+ na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili+ na hisopo+ ili kujitakasa.
49 Na ili kuitakasa nyumba hiyo kutokana na dhambi atachukua ndege wawili+ na mti wa mwerezi+ na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili+ na hisopo.