Hesabu 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 wa Benyamini,+ Abidani+ mwana wa Gidioni; Hesabu 7:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Katika siku ya tisa kulikuwa na mkuu+ wa wana wa Benyamini, Abidani+ mwana wa Gidioni. Hesabu 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Benyamini+ kulikuwa na Abidani+ mwana wa Gidioni.