Hesabu 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Balaamu akamwambia Balaki: “Simama kando ya toleo lako la kuteketezwa,+ nami niende. Labda Yehova atawasiliana nami na kukutana nami.+ Ndipo lolote atakalonionyesha, hakika nitakuambia.” Basi akaenda kwenye kilima kilicho wazi.
3 Na Balaamu akamwambia Balaki: “Simama kando ya toleo lako la kuteketezwa,+ nami niende. Labda Yehova atawasiliana nami na kukutana nami.+ Ndipo lolote atakalonionyesha, hakika nitakuambia.” Basi akaenda kwenye kilima kilicho wazi.