Kutoka 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Sasa Haruni alimchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ awe mke wake. Baadaye akamzalia Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.+ Mambo ya Walawi 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, wakachukua na kuleta kila mmoja wao chetezo+ chake na kutia moto ndani yake na kutia uvumba+ juu yake, nao wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ ambao hakuwa amewaamuru. 1 Mambo ya Nyakati 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata hivyo, Nadabu na Abihu+ walikufa kabla ya baba yao,+ nao hawakuwa na wana wowote, bali Eleazari+ na Ithamari wakaendelea kuwa makuhani.
23 Sasa Haruni alimchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ awe mke wake. Baadaye akamzalia Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.+
10 Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, wakachukua na kuleta kila mmoja wao chetezo+ chake na kutia moto ndani yake na kutia uvumba+ juu yake, nao wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ ambao hakuwa amewaamuru.
2 Hata hivyo, Nadabu na Abihu+ walikufa kabla ya baba yao,+ nao hawakuwa na wana wowote, bali Eleazari+ na Ithamari wakaendelea kuwa makuhani.