2 Balaki akafanya mara moja kama vile Balaamu alivyokuwa amesema. Kisha Balaki na Balaamu wakatoa ng’ombe-dume mmoja na kondoo-dume mmoja juu ya kila madhabahu.+
14 Basi akampeleka mpaka uwanja wa Sofimu, mpaka juu ya Pisga,+ na kujenga madhabahu saba na kutoa ng’ombe-dume mmoja na kondoo-dume mmoja juu ya kila madhabahu.+