12 “Wakati wowote unapowahesabu wana wa Israeli,+ basi kila mmoja wao atamtolea Yehova fidia kwa ajili ya nafsi yake wakati wa kuhesabiwa kwao,+ ili kusiwe na pigo juu yao wakati wa kuhesabiwa kwao.+
26 Ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi,+ jumla ya watu 603,550.+
2 “Chukueni hesabu+ ya kusanyiko lote la wana wa Israeli kulingana na familia zao, kulingana na nyumba ya baba zao, kwa hesabu ya majina, wanaume wote, kichwa kwa kichwa kati yao,