Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Wakati wowote unapowahesabu wana wa Israeli,+ basi kila mmoja wao atamtolea Yehova fidia kwa ajili ya nafsi yake wakati wa kuhesabiwa kwao,+ ili kusiwe na pigo juu yao wakati wa kuhesabiwa kwao.+

  • Kutoka 38:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi,+ jumla ya watu 603,550.+

  • Hesabu 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Chukueni hesabu+ ya kusanyiko lote la wana wa Israeli kulingana na familia zao, kulingana na nyumba ya baba zao, kwa hesabu ya majina, wanaume wote, kichwa kwa kichwa kati yao,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki