Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na moyo wa Daudi ukaanza kumpiga+ baada ya kuwahesabu watu. Basi Daudi akamwambia Yehova: “Nimetenda dhambi+ sana kwa lile ambalo nimefanya. Na sasa, Yehova, tafadhali acha kosa la mtumishi wako lipitilie mbali;+ kwa maana nimetenda kwa upumbavu sana.”+

  • 2 Samweli 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Yehova akaleta tauni+ katika Israeli kuanzia asubuhi mpaka wakati uliowekwa, hivi kwamba kati ya watu kutoka Dani mpaka Beer-sheba+ watu 70,000 wakafa.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kama kuwe na njaa+ kwa miaka mitatu; au miezi mitatu wapinzani wako wakufagilie mbali na upanga wa adui+ zako ukufikie, au siku tatu kuwe na upanga wa Yehova,+ tauni,+ katika nchi, huku malaika wa Yehova akileta uharibifu+ katika eneo lote la Israeli.’ Na sasa uone ni jibu gani nitakalompelekea Yeye aliyenituma.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki