-
1 Mambo ya Nyakati 21:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 kama kuwe na njaa+ kwa miaka mitatu; au miezi mitatu wapinzani wako wakufagilie mbali na upanga wa adui+ zako ukufikie, au siku tatu kuwe na upanga wa Yehova,+ tauni,+ katika nchi, huku malaika wa Yehova akileta uharibifu+ katika eneo lote la Israeli.’ Na sasa uone ni jibu gani nitakalompelekea Yeye aliyenituma.”
-