1 Mambo ya Nyakati 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na wana wa Tola walikuwa Uzi na Refaya na Yerieli na Yahmai na Ibsamu na Shemueli, vichwa vya nyumba ya mababu zao. Kwa Tola kulikuwa na mashujaa, wanaume wenye nguvu, kulingana na wazao wao. Hesabu yao katika siku za Daudi+ ilikuwa 22,600.
2 Na wana wa Tola walikuwa Uzi na Refaya na Yerieli na Yahmai na Ibsamu na Shemueli, vichwa vya nyumba ya mababu zao. Kwa Tola kulikuwa na mashujaa, wanaume wenye nguvu, kulingana na wazao wao. Hesabu yao katika siku za Daudi+ ilikuwa 22,600.