12 na vipimo vitatu vya sehemu ya kumi ya unga laini ukiwa toleo la nafaka+ lililotiwa mafuta kwa ajili ya kila ng’ombe-dume na vipimo viwili vya sehemu ya kumi ya unga laini ukiwa toleo la nafaka lililotiwa mafuta kwa ajili ya kondoo-dume mmoja,+
3 na toleo lao la nafaka la unga laini uliotiwa mafuta, vipimo vitatu vya sehemu ya kumi kwa ajili ya yule ng’ombe-dume, vipimo viwili vya sehemu ya kumi kwa ajili ya yule kondoo-dume,+