Mambo ya Walawi 4:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 au amejulishwa dhambi yake ambayo amefanya kinyume cha amri,+ basi atamleta mwana-mbuzi dume+ ambaye hana kasoro, awe toleo lake. Hesabu 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Pia, mwana-mbuzi+ mmoja atatolewa akiwa toleo la dhambi kwa Yehova kwa kuongezea lile toleo la kuteketezwa la daima pamoja na toleo lake la kinywaji.+
23 au amejulishwa dhambi yake ambayo amefanya kinyume cha amri,+ basi atamleta mwana-mbuzi dume+ ambaye hana kasoro, awe toleo lake.
15 Pia, mwana-mbuzi+ mmoja atatolewa akiwa toleo la dhambi kwa Yehova kwa kuongezea lile toleo la kuteketezwa la daima pamoja na toleo lake la kinywaji.+