14 Na kama matoleo yao ya kinywaji watatoa nusu+ ya hini ya divai kwa ajili ya ng’ombe-dume na sehemu ya tatu+ ya hini kwa ajili ya kondoo-dume na sehemu ya nne+ ya hini kwa ajili ya mwana-kondoo dume. Hilo ndilo toleo la kuteketezwa la kila mwezi katika mwezi wake kwa ajili ya miezi ya mwaka.+