Hesabu 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Katika nchi yao hutakuwa na urithi, wala hakuna fungu lolote litakalokuwa lako katikati yao.+ Mimi ni fungu lako na urithi wako katikati ya wana wa Israeli.+ Hesabu 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Katika zawadi zote mtakazopewa, mtachanga kila namna ya mchango kwa Yehova, ule ulio bora zaidi,+ uwe kitu kitakatifu kutoka kwao.’
20 Na Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Katika nchi yao hutakuwa na urithi, wala hakuna fungu lolote litakalokuwa lako katikati yao.+ Mimi ni fungu lako na urithi wako katikati ya wana wa Israeli.+
29 Katika zawadi zote mtakazopewa, mtachanga kila namna ya mchango kwa Yehova, ule ulio bora zaidi,+ uwe kitu kitakatifu kutoka kwao.’