Kutoka 30:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nawe utachukua pesa za fedha za upatanisho kutoka kwa wana wa Israeli na kuzitoa kwa ajili ya utumishi wa hema la mkutano,+ ili kwa kweli uwe ukumbusho mbele za Yehova na wana wa Israeli, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu.”
16 Nawe utachukua pesa za fedha za upatanisho kutoka kwa wana wa Israeli na kuzitoa kwa ajili ya utumishi wa hema la mkutano,+ ili kwa kweli uwe ukumbusho mbele za Yehova na wana wa Israeli, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu.”