18 “Basi nikawaamuru ninyi wakati huo, na kusema, ‘Yehova Mungu wenu amewapa nchi hii mpate kuimiliki. Mtavuka, mkiwa tayari na silaha, mbele ya ndugu zenu, wana wa Israeli, wanaume wote mashujaa.+
12 Kisha wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase+ wakavuka wakiwa wamejipanga kivita+ machoni pa wana wa Israeli, kama vile Musa alivyokuwa amewaambia.+