Hesabu 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Jina la mahali hapo likaitwa Kibroth-hataava,+ kwa sababu hapo waliwazika watu walioonyesha tamaa ya uchoyo.+ Kumbukumbu la Torati 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Na zaidi ya hayo, huko Tabera+ na huko Masa+ na huko Kibroth-hataava+ mlimkasirisha Yehova.+
34 Jina la mahali hapo likaitwa Kibroth-hataava,+ kwa sababu hapo waliwazika watu walioonyesha tamaa ya uchoyo.+