21Sasa yule Mkanaani, mfalme wa Aradi,+ aliyekaa Negebu,+ akapata kusikia kwamba Israeli alikuwa amekuja kupitia njia ya Atharimu, naye akaanza kupigana na Israeli na kuchukua baadhi yao kuwa mateka.
16 Na wana wa yule Mkeni,+ ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ wakapanda kutoka katika lile jiji la mitende+ pamoja na wana wa Yuda, wakaingia katika nyika ya Yuda, iliyoko upande wa kusini wa Aradi.+ Ndipo wakaenda, wakaanza kukaa na watu hao.+