Mwanzo 19:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Baada ya muda yule mzaliwa wa kwanza akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu.+ Yeye ndiye baba ya Moabu, mpaka leo hii.+ Hesabu 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha wakaondoka Obothi na kupiga kambi Iye-abarimu,+ katika nyika inayoelekea upande wa mbele wa Moabu, kuelekea mashariki. Hesabu 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kutoka huko wakasafiri na kupiga kambi katika eneo la Arnoni,+ lililo katika nyika inayosambaa kutoka katika mpaka wa Waamori; kwa maana Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.
37 Baada ya muda yule mzaliwa wa kwanza akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu.+ Yeye ndiye baba ya Moabu, mpaka leo hii.+
11 Kisha wakaondoka Obothi na kupiga kambi Iye-abarimu,+ katika nyika inayoelekea upande wa mbele wa Moabu, kuelekea mashariki.
13 Kutoka huko wakasafiri na kupiga kambi katika eneo la Arnoni,+ lililo katika nyika inayosambaa kutoka katika mpaka wa Waamori; kwa maana Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.