6 Naye atakaa ndani ya jiji hilo mpaka atakaposimama mbele ya kusanyiko kwa ajili ya hukumu,+ mpaka kifo cha kuhani mkuu+ atakayekuwa katika cheo siku hizo. Ndipo muuaji huyo ataweza kurudi,+ naye ataingia katika jiji lake na katika nyumba yake, ndani ya jiji ambalo alikuwa amelikimbia.’”