Hesabu 35:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na majiji hayo yatatumika kwenu yakiwa makimbilio ili kumkimbia mlipiza-kisasi cha damu,+ kusudi muuaji asife mpaka asimame mbele ya kusanyiko kwa ajili ya hukumu.+ Hesabu 35:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 ndipo kusanyiko litahukumu kati ya yule mpigaji na yule mlipiza-kisasi cha damu kulingana na hukumu hizi.+
12 Na majiji hayo yatatumika kwenu yakiwa makimbilio ili kumkimbia mlipiza-kisasi cha damu,+ kusudi muuaji asife mpaka asimame mbele ya kusanyiko kwa ajili ya hukumu.+
24 ndipo kusanyiko litahukumu kati ya yule mpigaji na yule mlipiza-kisasi cha damu kulingana na hukumu hizi.+