Hesabu 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Waandikishe wana wa Lawi kulingana na nyumba ya baba zao kulingana na familia zao. Kila mwanamume kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi utamwandikisha.”+ Hesabu 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Wana wa Gershoni+ watahesabiwa, naam, wao kulingana na nyumba ya baba zao kulingana na familia zao.
15 “Waandikishe wana wa Lawi kulingana na nyumba ya baba zao kulingana na familia zao. Kila mwanamume kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi utamwandikisha.”+
22 “Wana wa Gershoni+ watahesabiwa, naam, wao kulingana na nyumba ya baba zao kulingana na familia zao.