10 Na yule mwingine atamtoa kuwa toleo la kuteketezwa kulingana na utaratibu wa kawaida;+ naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake kwa sababu ya dhambi yake ambayo ametenda, naye atasamehewa.+
31 mmoja wa hao anaoweza kuwapata akiwa toleo la dhambi+ na yule mwingine akiwa toleo la kuteketezwa+ pamoja na toleo la nafaka; naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili ya yule anayejitakasa mbele za Yehova.