31 Kisha Musa akamwambia Haruni na wanawe: “Itokoseni+ nyama kwenye mwingilio wa hema la mkutano, na hapo ndipo mtakapoila+ na mkate ulio katika kile kikapu cha kuweka rasmi, kama vile nilivyopewa amri, kusema, ‘Haruni na wanawe wataila.’
15 Pia, hata kabla ya kufukiza moshi wa mafuta,+ mtumishi wa kuhani alikuwa akija na kumwambia mtu anayetoa dhabihu: “Nipe nyama ya kuchoma kwa ajili ya kuhani ili apokee kutoka kwako nyama mbichi wala si ile iliyotokoswa.”+