Kutoka 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Sasa Haruni alimchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ awe mke wake. Baadaye akamzalia Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.+ Luka 3:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 mwana wa Aminadabu,+mwana wa Arni,+mwana wa Hezroni,+mwana wa Perezi,+mwana wa Yuda,+
23 Sasa Haruni alimchukua Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni,+ awe mke wake. Baadaye akamzalia Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.+