Mambo ya Walawi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+ Zaburi 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na akumbuke matoleo yako yote ya zawadi,+Naye na ayakubali matoleo yako ya kuteketezwa kuwa ni mafuta.+ Sela.
3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+
3 Na akumbuke matoleo yako yote ya zawadi,+Naye na ayakubali matoleo yako ya kuteketezwa kuwa ni mafuta.+ Sela.