Kutoka 40:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Katika siku ya mwezi wa kwanza,+ siku ya kwanza ya mwezi, utaisimamisha maskani ya hema la mkutano.+ Hesabu 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Naye Yehova akasema na Musa katika nyika ya Sinai,+ kwenye hema la mkutano,+ siku ya kwanza ya mwezi wa pili wa mwaka wa pili wa kutoka kwao nchini Misri,+ naye akamwambia:
2 “Katika siku ya mwezi wa kwanza,+ siku ya kwanza ya mwezi, utaisimamisha maskani ya hema la mkutano.+
1 Naye Yehova akasema na Musa katika nyika ya Sinai,+ kwenye hema la mkutano,+ siku ya kwanza ya mwezi wa pili wa mwaka wa pili wa kutoka kwao nchini Misri,+ naye akamwambia: