21 Na ikiwa nafsi itagusa kitu chochote kisicho safi, uchafu wa mwanadamu+ au mnyama asiye safi+ au kitu chochote chenye kuchukiza kisicho safi,+ naye ale sehemu ya nyama ya dhabihu ya ushirika, ambayo ni ya Yehova, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake.’”